Millardayo.com imepata nafasi ya kuongea na Prezzo kuhusu show hii ambayo amesema>>’Usiku wa leo utakua balaa koz sisi tumeiandaa,nikisema sisi namaanisha team Prezoo ikiwa pamoja na madancer wangu yaani full kamiligado meen’
Prezzo kwa mwaka huu itakua ni show ya tatu kufanya Tanzania na itakua ya kwanza kwa Dar es salaam tangu 2014 ianze,amefanya show tatu kwa Tanzania ya kwanza ilikua Mwanza yapili ilikua Arusha na ya tatu ndo hii hapa 88.5 Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment