Murang'a-KENYA,
Katika hali isiyo ya kawaida polisi mmoja amemuua msimamizi wa kituo cha kupigia kura Bw.Waithanje Mwaniki katika jimbo la Kangema walipokuwa njiani wakirudi kutoka katika kituo cha kupigia kura na masanduku ya kura.
Taarifa ya awali iliyotolewa na Mkuu wa wilaya hiyo imesema polisi huyo alikuwa ndani ya gari na marehemu akiwa amekaa kiti cha nyuma ya Marehemu na alimpiga risasi hiyo kwa bahati mbaya.
Polisi huyo amekamatwa na uchunguzi ukiendelea ambapo utata zaidi umeligubika tukio hilo kutokana na msimamizi msaidizi wa kituo hicho kupotea baada ya tukio hilo na haifahamiki yupo wapi mpaka sasa<t>
Tuesday, March 05, 2013
UCHAGUZI KENYA-MATOKEO YAENDELEA KUTOLEWA-KENYATTA BADO KINARA.
Posted by
Chiefwire
Baada ya siku kashikashi ya uchaguzi na kupiga kura nchini Kenya, Matokeo ya uchaguzi huo yameazwa kutangazwa toka hapo jana.
Wananchi wa Kenya Wakifuatilia matokeo hayo katika Televisheni. |
- Uhuru Kenyatta (Jubilee Alliance): 55%
- Raila Odinga (Coalition for Reform and Democracy): 41%
- Musalia Mudavadi (Peace coalition): 3%
- Asilimia 37% ya vituo vya kupigia kura vimeshatoa matokeo.
Subscribe to:
Posts (Atom)