Msanii wa maigizo Elizabeth Diana Michael aka Lulu jana jioni aliwakumbuka watoto yatima wa kituo cha ''Chakuwama'' kilichopo Sinza Meeda na kujumuika nao kwenye #Futari iliyo andaliwa na msanii huyo.. Lulu aliambatana na Mama yake mzazi, Mama Kanumba, Dk. Cheni na watu mbali mbali... Mlezi mkuu wa kituo hicho Bi Saida Hassan amesema wamefarijika sana kuona Lulu amewakumbuka.
Watoto wakipakua futari
Mama Kanumba nae alikuwepo
Dr Cheni akipata futari
Lulu akiwa na mmoja wapo wa mtoto wa kituo hicho
Lulu na mama Kanumba wakiteta jambo
Lulu na mdogo wake Eric
Lulu akikabidhi msaada
Mama mlezi wa watoto hao Bi. Saida Hassan akizungumza na Lulu. Picha kwa hisani ya Bestizzo
No comments:
Post a Comment