Credit:millardayo.com
Usiku wa Mei 3 ni usiku uliokuwa ukitolewa tuzo mbalimbali kwa wanamuziki waliofanya vizuri mwaka 2013/2014 huku usiku huu ukitawaliwa na burudani mbalimbali kutoka kwa wanamuziki wa Tanzania,hawa ni washindi waliofanikiwa kupata tuzo 2013/2014 kwenye category mbalimbali.
Usiku wa Mei 3 ni usiku uliokuwa ukitolewa tuzo mbalimbali kwa wanamuziki waliofanya vizuri mwaka 2013/2014 huku usiku huu ukitawaliwa na burudani mbalimbali kutoka kwa wanamuziki wa Tanzania,hawa ni washindi waliofanikiwa kupata tuzo 2013/2014 kwenye category mbalimbali.
Katika Mtiririko huu wa Washindi Diamond Plutnumz ameweka historia nyingine mpya baada ya kuchukua jumla ya tuzo 7,cheki hapa chini.
No comments:
Post a Comment