Mkutano huo wa siku mbili unawakutanisha viongozi wa Uingereza,Ufaransa,Ujerumani,Italia,Japan,na Marekani ambaye ni mwenyeji wa mkutano huo.
Moja ya ajenda katika mkutano ni pamoja na Hali ya uchumi Ulaya, Hali ya nyuklia Iran, Hali ya Syria, Pia usalama wa chakula na nishati duniani ikiwemo Afrika.
Hata hivyo licha ya ajenda hizo bado wengi hawana matumaini na mkutano huo kwani iliyotangulia haikuzaa matunda kama ilivyotegemewa.
No comments:
Post a Comment